1433; Njia Ya Kuongeza Kipato Kwenye Ajira…

By | December 3, 2018
Watu wengi walioajiriwa huwa wana njia moja tu ya kuongeza kipato chao kupitia ajira waliyonayo. Njia hiyo ni kuomba kuongezewa mshahara. Na pale maombi yanapokataliwa, basi wanaanza kufanya kazi chini ya kiwango, kwa sababu wanaona hakuna haja ya kufanya zaidi. Njia hiyo iliyozoeleka na wengi ni njia mbovu sana na

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz