MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1433; Njia Ya Kuongeza Kipato Kwenye Ajira…
Watu wengi walioajiriwa huwa wana njia moja tu ya kuongeza kipato chao kupitia ajira waliyonayo. Njia hiyo ni kuomba kuongezewa mshahara. Na pale maombi yanapokataliwa, basi wanaanza kufanya kazi chini ya kiwango, kwa sababu wanaona hakuna haja ya kufanya zaidi. Njia hiyo iliyozoeleka na wengi ni njia mbovu sana na