MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1440; Adui Namba Moja Kwenye Uwekezaji…
Ni hisia zako, hisia zako ndiye adui namba moja kwenye uwekezaji wako. Pia hisia zako kama hutaweza kuzidhibiti, zitakuwa adui wako wa kwanza kwenye mafanikio yako. Hisia kuu mbili zinazowavuruga wengi kwenye uwekezaji ni hofu na tamaa. Wakati ambapo fursa ya kuwekeza zaidi inapatikana, watu huwa wanatawaliwa na hofu wakiona