MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1442; Jinsi Ya Kuanza Na Kutokuishia Njiani…
Kuweka mipango ni rahisi, kila mtu anapanga na kila mtu anasema. Na hii mitandao ya kijamii na mawasiliano yamerahisisha sana watu kupanga na hata kusema, hata kama hawajui wanafanyaje. Kile kitendo tu cha kupanga, kimekuwa ushindi mkubwa kwa wengi. Lakini ushindi huu unayeyuka pale wanaposhindwa kuchukua hatua za kutekeleza yale