1442; Jinsi Ya Kuanza Na Kutokuishia Njiani…

By | December 12, 2018
Kuweka mipango ni rahisi, kila mtu anapanga na kila mtu anasema. Na hii mitandao ya kijamii na mawasiliano yamerahisisha sana watu kupanga na hata kusema, hata kama hawajui wanafanyaje. Kile kitendo tu cha kupanga, kimekuwa ushindi mkubwa kwa wengi. Lakini ushindi huu unayeyuka pale wanaposhindwa kuchukua hatua za kutekeleza yale

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz