MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1443; Utumwa Usioujua Ambao Unakuingiza Kwenye Matatizo Mengi…
Matatizo mengi tunayokutana nayo kwenye maisha yetu, huwa tunayaandaa au kuyatengeneza sisi wenyewe. Hata kama waliosababisha matatizo hayo ni wengine, lakini huwa hatukosi mchango wetu kwenye matatizo hayo. Na tunachangia matatizo haya mengi kwa utumwa ambao tumekuwa nao ambao hatuujui kama ni utumwa kwetu. Katika hali ya kawaida, huwa fikra