1444; Kuwa Pale Mteja Alipo, Na Kumtangulia Anakokwenda…

By | December 14, 2018
Moja ya sifa ya ziada unayopaswa kuwa nayo ili kufanikiwa kwenye biashara ni kuwa mtabiri. Unapaswa kuweza kutabiri yale yanayokwenda kutokea kwenye biashara yako na wateja wako. Na siyo tu kutabiri kwa kujifurahisha, bali kwa kuwa na maandalizi ambayo yataendana na mabadiliko yanayokwenda kutoka kwenye biashara yako na kwa wateja

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz