MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1444; Kuwa Pale Mteja Alipo, Na Kumtangulia Anakokwenda…
Moja ya sifa ya ziada unayopaswa kuwa nayo ili kufanikiwa kwenye biashara ni kuwa mtabiri. Unapaswa kuweza kutabiri yale yanayokwenda kutokea kwenye biashara yako na wateja wako. Na siyo tu kutabiri kwa kujifurahisha, bali kwa kuwa na maandalizi ambayo yataendana na mabadiliko yanayokwenda kutoka kwenye biashara yako na kwa wateja