MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; KUSOMA KUBURUDIKA AU KUSOMA KUKUA?
“Don’t just read the easy stuff. You may entertained by it, but you will never grow from it.” – Jim Rohn Tumepata nafasi nyingine nzuri na ya kipekee sana kwetu. Ni fursa bora kwetu kwenda kuweka juhudi kubwa ili kuweza kupata matokeo bora sana. Ni siku ya kwenda kujitofautisha na