MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1447; Kwa Sababu Unawasikia, Haiwafanyi Kuwa Sahihi…
Unapochagua nini unataka kwenye maisha yako, na unapojitoa kuhakikisha unapata kile unachotaka, yapo makundi mengi ya watu watakaojitokeza na kuja kwako kwa njia mbalimbali. Kundi moja kubwa ni la wale ambao watakukosoa kwa kile unachofanya. Kama utakuwa na ndoto kubwa watakuambia achana na ndoto hizo kubwa, hutaweza kuzifikia. Kama utajituma