MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1453; Kupata Usichotaka Siyo Sawa Na Kukosa Kabisa…
Watu wengi huwa hawapendi pale wanapopata wasichotaka, huwa wanaona kama wamepoteza muda wao na juhudi walizoweka kwenye kile walichofanya. Lakini hilo siyo sahihi, kupata usichotaka siyo kupoteza muda wala nguvu, bali ni kujisogeza karibu zaidi na kile unachotaka. Kupata usichotaka siyo sawa na kukosa kabisa. Kwa sababu kwa kupata usichotaka