MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1461; Wewe Ni Nani?
Hili siyo swali la kifalsafa wala kiimani, bali ni swali la kawaida kabisa ambalo nataka kila mmoja wetu ajiulize; wewe ni nani? Nataka tujiulize swali hili kwa sababu zama tunazoishi sasa zimekuwa zama za kuiga kila kitu mpaka tumefikia hatua ya kujisahau sisi wenyewe, kusahau utu halisia uliopo ndani yetu.
