1465; Mti Unaozaa Matunda…

By | January 4, 2019
Pata picha una mche wako wa mwembe, mche ambao unataka uzae matunda haraka. Hivyo unapanda mche wako huo, lakini huoni matunda yakitoka haraka, unaona eneo ulilopanda siyo sahihi, unaung’oa na kwenda kuupanda sehemu nyingine, hapo pia matunda hayatoki haraka. Unaung’oa tena na kwenda kuotesha sehemu nyingine. Unaendelea na zoezi hilo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz