MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1467; Chuki Ni Kazi Ya Watu, Isikuzuie Kufanya Yako…
Kama unaacha kufanya kitu muhimu kwako kwa sababu hutaki watu wakuchukie, unajichelewesha kufanikiwa. Chuki ni kazi ya watu, na watu watakuchukia kwa sababu ambazo hazipo ndani ya uwezo wako. Wapo watu ambao watachagua kukuchukia kwa sababu tu umechagua kuishi maisha yako, na hakuna chochote utakachofanya ukaondoa chuki waliyonayo juu yako.