MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1473; Kufanya Maamuzi Mengi Kwa Wakati Mmoja…
Kila tunapokuwa na maamuzi ambayo tunapaswa kuyafanya kwenye maisha yetu, hatukosi sababu ya kusogeza mbele, kwa sababu maamuzi yoyote ni magumu kufanya na kwa hali ya kawaida huwa akili zetu hazipendi vitu vigumu. Sasa kwa kusogeza kwetu maamuzi mbele, tunafika mahali na kukuta tuna maamuzi mengi ambayo tunapaswa kuyafanya na