MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1478; Hakuna Atakayekulipa Kwa Unachojua…
Huwa tunachanganya sana ujuzi na kipato, ndiyo maana wengi wanaoongeza elimu zaidi wakitegemea kipato chao kiwe kikubwa zaidi huishia kukata tamaa pale kipato chao kinaposhindwa kuongezeka, au kuongezeka kwa kiwango kidogo sana. Kuongeza elimu au ujuzi hakukufanyi wewe ulipwe zaidi, kunakuongezea sifa tu. Kinachokufanya wewe ulipwe zaidi ni pale unapofanya
