MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1479; Kanuni Muhimu Ya Mafanikio Kwenye Biashara…
Kila kitu kwenye maisha kina kanuni zake, ndiyo maana watu wawili wanaweza kuwa wanafanya kitu kimoja, mmoja akafanikiwa sana huku mwingine akishindwa kabisa. Tofauti haipo kwenye kile watu wanachofanya, bali ipo kwenye namna wanavyofanya. Ukijua namna ambavyo watu waliofanikiwa wanafanya mambo yao, na ukafanya kama wanavyofanya, hata kama hutawafikia, lakini