MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1481; Wewe Fanya Kazi Yako, Na Waachie Watu Wachague Wenyewe…
Mwandishi mmoja amewahi kuandika kwamba zama hizi ambazo mtu unaweza kufanya kila kitu mwenyewe, zimekuwa zama ambazo ubora wa kazi umeshuka sana. Akitumia mfano wa sanaa na uandishi, anasema zamani msanii aliweka nguvu zako kwenye kutengeneza sanaa yake, na kazi ya masoko na kusambaza ilikuwa kazi za watu wengine, hasa