MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1487; Matatizo Yako Binafsi Ni Muhimu Kwako Tu…
Siku hizi watu wamekuwa wanashindwa kutatua matatizo yao binafsi kwa sababu tunaelekea kusahau kwamba matatizo haya ni muhimu kwa watu gani. Uwepo wa mitandao ya kijamii na urahisi wa mawasiliano umewafanya watu kukimbilia kutoa matatizo yao binafsi kwa wengine kuliko kukaa chini na kuyatatua. Mtu anakuwa na tatizo, badala ya