MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1488; Kula Mara Moja Au Kuoga Mara Moja…
Hivi ni vitu viwili ambavyo lazima uvifanye kila siku, hata kama hujisikii kufanya, hata kama huna muda wa kuvifanya, utatenga muda na kuvifanya. Kila siku. Lakini inapokuja kwenye mambo mengine muhimu sana ambayo tunapaswa kuyafanya kila siku, tunaanza kujipa sababu kwa nini hatuwezi kufanya kila siku. Chukulia kitu muhimu kama