1488; Kula Mara Moja Au Kuoga Mara Moja…

By | January 27, 2019
Hivi ni vitu viwili ambavyo lazima uvifanye kila siku, hata kama hujisikii kufanya, hata kama huna muda wa kuvifanya, utatenga muda na kuvifanya. Kila siku. Lakini inapokuja kwenye mambo mengine muhimu sana ambayo tunapaswa kuyafanya kila siku, tunaanza kujipa sababu kwa nini hatuwezi kufanya kila siku. Chukulia kitu muhimu kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz