MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1496; Usipotezwe Na Waliopotea…
Jambo kubwa na linalosikitisha kwenye maisha ni pale watu ambao wapo kwenye njia sahihi, wanakubali kupotezwa na wale ambao hawapo kwenye njia sahihi. Hivi ndivyo ambavyo watu wengi wamekuwa wanapotezwa na kuondolewa kwenye njia ya mafanikio makubwa. Mtu anakuwa na ndoto kubwa, anajiweka malengo na mipango na anaanza kufanyia kazi
