MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1497; Tengeneza Muda Au Tengeneza Sababu…
Unaposikia mtu anasema ningependa kufanya kitu fulani ila sina muda, kuna mambo mawili hapo, labda kitu hicho siyo muhimu au mtu huyo hajui nini muhimu kwenye maisha yake. Kwa sababu kuja na sababu kwamba huna muda na kuwa tayari kuileza na kuitetea kwa watu kunahitaji muda pia. Hivyo kwa chochote
