MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1498; Jinsi Ya Kuwa Toleo Bora Kabisa La Wewe Mwenyewe…
Zama hizi kila kitu kina matoleo mengi sana, na matoleo yanatoka kila baada ya muda mfupi. Ukinunua simu mpya leo, ambayo ndiyo toleo jipya kabisa, miezi sita ijayo kutakuwa na matoleo mengine mapya ya simu hiyo hiyo kiasi kwamba ile uliyonayo unaanza kuiona kama haifai tena. Mfumo wa kuja na