1505; Uhakika Wa Asilimia 100…

By | February 13, 2019
Kikwazo kikubwa ambacho kimekuwa kinawazuia watu wengi kuchukua hatua ni kukosa uhakika wa asilimia 100. Wengi wamekuwa wanapenda kupiga hatua na kufikia mafanikio makubwa, lakini pale wanapotaka kufanya hivyo, wanaanza kuingiwa na hofu wanapouangalia uhalisia. Kwa kuwa binadamu hatupendi hatari, tunapenda kufanya vitu ambavyo tuna uhakika navyo. Na hapo ndipo

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz