MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1506; Kwa Nini Unapenda Kulaumu Ushauri Ambao Wengine Wamekupa…
Mara nyingi utawasikia watu wakilaumu ushauri ambao walipewa na watu wengine, pale wanapokuwa wameufanyia kazi halafu ukaleta matokeo ambayo ni tofauti na waliyotarajia. Hapa unaweza kujiuliza je ushauri ni lazima ufanyiwe kazi, kwani mtu anapokupa ushauri anakuambia lazima uufanyie kazi? Majibu ni hapana, ushauri, na unapaswa kuutafakari kisha kuona kama