MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1508; Njia Rahisi Kwako Kujiangusha Na Kujikatisha Tamaa Mwenyewe…
Ni kujilinganisha na watu wengine. Unapojilinganisha na watu wengine, unajishusha chini au kujipandisha juu kwa namna ambayo siyo sahihi kwako. Ukijilinganisha na walio juu yako utajiona wewe hujafanya chochote na hivyo kujiikia vibaya sana. Ukijilinganisha na walio chini yako utajiona umefanya makubwa sana na kuridhika na kuanza kupumzika. Kujilinganisha ni