1513; Magumu Unayopitia Ni Darasa, Unachohitaji Ni Kufaulu…

By | February 21, 2019
Mtu mmoja amewahi kusema kama maisha ni vita basi hakuna anayetoka akiwa hai. Akiwa na maana kwamba mwisho wa siku wote tutakufa, hivyo tunachopaswa kufanya ni kupambana kwenye kile ambacho tunapitia. Kila mtu anapitia magumu kwenye maisha yake, hakuna ambaye maisha yake yamenyooka na anapata kila anachotaka kwa wakati anaotaka.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz