1514; Sifa Ndogo Ndogo Zitakazokuwezesha Kufanikiwa Kwenye Ujasiriamali…

By | February 22, 2019
Tunapoyaangalia mafanikio kwenye ujasiriamali na hata maisha kwa ujumla huwa tunaangalia mambo makubwa makubwa. Kama kuwa na wazo la kimapinduzi, kuwa na mtaji mkubwa na hapa kuwa na timu kubwa ya kutuwezesha kupiga hatua zaidi. Yote haya ni mazuri sana, lakini wote tunajua kwamba ni wachache sana wanaopata bahati ya

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz