MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1516; Kikwazo Kikubwa Kwako Kubadili Tabia…
Ni mazingira, mara zote mazingira yamekuwa kikwazo kikubwa kwa wengi kubadili tabia. Huwezi kubadili tabia kama bado utabaki kwenye mazingira ambayo yanashawishi tabia unayotaka kuvunja. Kwa mfano unataka kuacha kunywa pombe, lakini marafiki zako wote ni wanyaji wa pombe, na mnakutaka kwenye eneo la unywaji wa pombe. Huwezi kabisa kuvunja
