MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1523; Huwezi Kuyakwepa Wala Kuyatoroka Maisha…
Maisha tayari ni magumu, lakini sisi wenyewe tumekuwa tunaogeza ugumu wake pale tunapojaribu kuyakwepa au kuyatoroka maisha yetu. Tumekuwa tunatumia muda mwingi kutafuta njia za mkato za kupata tunachotaka, njia ambazo siyo sahihi. Ni baada ya kujaribu njia nyingi, kupoteza nguvu na muda mwingi ndiyo tunajifunza kwamba njia sahihi ni