MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1525; Njia Sahihi Na Isiyo Sahihi Ya Kuwa Na Furaha Kwenye Maisha…
Lengo kuu la kila mtu kwenye maisha ni kuwa na furaha. Kila tunachofanya ni kwa mategemeo ya kuwa na furaha zaidi. Hakuna mtu anayeamka asubuhi na kusema leo nataka nikawe na siku ya hovyo kabisa. Kila mtu anategemea kuwa na siku nzuri na yenye furaha. Hata wanaofanya uhalifu kama kuiba