1526; Epuka Sana Kutumia Neno Hili Moja Na Utaona Maajabu Kwenye Maisha Yako…

By | March 6, 2019
Lipo neno ambalo ni rahisi sana kutamka, lakini lina madhara makubwa sana kwa wengi. Neno hilo ni HAIWEZEKANI. Ni rahisi sana kutumia neno hili pale tunapoweka mipango mbalimbali lakini katika utekelezaji tunakutana na vikwazo au changamoto. Pia ni rahisi kutumia neno hili pale tunapowaangalia wengine ambao wamejaribu wakashindwa. Rafiki, hakuna

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz