MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1531; Wakati Wa Kusema Ndiyo Kwenye Kila Kitu…
Mara kwa mara nimekuwa nakushirikisha nguvu ya neno HAPANA. Umuhimu wa kutumia neno hili ili kuweza kupiga hatua kwenye maisha yako. Hili ni neno ambalo litakupa uhuru mkubwa sana kwenye maisha yako. Unapokuwa na uhaba wa muda, neno hapana ni rafiki sana kwako. Unapaswa kusema hapana kwenye vitu visivyo muhimu