MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1534; Kazi Yako Inapaswa Kukutambulisha, Na Siyo Wewe Kuitambulisha Kazi Yako…
Katika zama tunazoishi sasa, mambo yanaenda kasi sana kiasi kwamba watu wamesahau kabisa nini kinahitajika kwenye kazi zao. Tunaishi kwenye zama za taarifa, ambapo watu hawawezi kutofautisha kati ya taarifa, maarifa na kelele. Kila mtu anapiga kelele akiamini kelele zaidi zitamfanya ajulikane na wengi. Na hapo ndipo unapoangalia mitandao ya