MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1543; Kama Hujui Kitu Uliza, Usijipe Majibu Yako Mwenyewe…
Mara nyingi huwa tunajipa majibu ya vitu ambavyo siyo sahihi. Mtu unakuwa hujui kitu fulani, kuhusu mtu au jambo, lakini unaamua kujipa majibu wewe mwenyewe, ambayo huwa siyo sahihi, bali ni matokeo ya fikra ulizonazo. Kwa njia hii tumekuwa tunajidanganya sana sisi wenyewe, tumekuwa tunajipa majibu ambayo siyo sahihi. Kwa