MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1544; Kushindwa Kwako Kusiwe Maumivu Kwa Wengine…
Kila mtu anashindwa kwenye maisha, hakuna ubishi kwenye hilo, haijalishi umefanikiwa kiasi gani, kuna baadhi ya mambo utajaribu na kushindwa. Hata makampuni makubwa duniani, yamekuwa yanakuja na mawazo ya bidhaa au huduma mpya ambazo zinashindwa vibaya mno na kuanguka kwenye soko. Tatizo kwenye kushindwa linakuja pale ambapo kushindwa kwako unataka