1545; Kuwa Huru Na Kufikiri Upo Huru…

By | March 25, 2019
Kuwa huru na kufikiri upo huru ni vitu viwili tofauti kabisa. Watu wengi wanaojiona wapo huru, ni kufikiri kwao kwamba wapo huru ndiyo kunawapa matumaini. Lakini kwa uhalisia hawapo huru, na hawajui kama hawapo huru, kitu kinachofanya hali yao izidi kuwa mbaya zaidi. Sisi binadamu huwa tuna tabia ya kuhalalisha

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz