1548; Kazi, Maisha Na Burudani…

By | March 28, 2019
Mtu mmoja amewahi kumuuliza Mjasiriamali na Bilionea Richard Branson ambaye anamiliki makampuni zaidi ya 400 kwamba anawezaje kuwa na mlinganyo wa kazi, maisha na burudani, anatengaje muda wa kazi, muda wa maisha na hata muda wa burudani? Richard Branson kwa mshangao aliuliza, kwani vitu hivyo vimetenganishwa? Si vinapaswa kuwa kitu

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz