MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1549; Sauti Hasi Iliyopo Ndani Yetu…
Kila mtu ana sauti hasi ambayo ipo ndani yake. Hii ni sauti ambayo kila mara inamkumbusha madhaifu yake, makosa yake, na jinsi ambavyo hawezi kufanya makubwa kama alivyopanga. Weka mipango yoyote mikubwa na kuna kisauti ndani yako kitaanza kukusumbua, kitakuambia huwezi, kitakuonesha wengine ambao walijaribu wakashindwa. Kuna wakati kisauti hiki
