MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1555; Kama Unawahi, Tayari Umeshachelewa…
Kukosa maandalizi ni kikwazo kikubwa sana kwa wengi kufanikiwa. Wengi huwa wanapanga kufanya kitu, lakini hawana maandalizi ya kutosha, hivyo wanakwama kwa sababu kile wanachohitaji ili kuendelea hakipatikani. Ndiyo maana leo nakuambia kama unawahi mahali, tayari umeshachelewa. Yaani kama unaharakisha kufika mahali fulani, basi jua umeshachelewa. Ungepaswa kuondoka mapema kiasi
