1556; Jifunze Kudhibiti Vitu Hivi Viwili Na Utaweza Kuyadhibiti Maisha Yako…

By | April 5, 2019
Kuna nguvu kubwa mbili zinazohusika kwenye kila hatua ambayo tunachukua kwenye maisha yetu. Nguvu hizo ni maumivu na uchoshi. Tunapokuwa hatuna kitu fulani tunachokitaka sana, huwa tunapata maumivu. Maumivu haya yanatusukuma kupata kile ambacho tunakitaka, na kadiri maumivu yanavyokuwa makubwa, ndivyo tunavyosukumwa kupata kitu hicho. Tunapopata kile tunachotaka, huwa tunakizoea

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz