1559; Haki Iliyopitiliza Ni Udhalimu…

By | April 8, 2019
Huwa tunaweka sheria mbalimbali ili kutuongoza kwenye maisha yetu, lakini siyo wakati wote sheria zinaweza kuleta matokeo mazuri. Ndiyo maana hata kwenye tawala za nchi, licha ya sheria kuwa wazi na zinajulikana, bado tunahitaji kuwa na mahakama, ili kuweza kutumia busara na hekima kufikia maamuzi ambayo ni bora kwa kila

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz