MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1559; Haki Iliyopitiliza Ni Udhalimu…
Huwa tunaweka sheria mbalimbali ili kutuongoza kwenye maisha yetu, lakini siyo wakati wote sheria zinaweza kuleta matokeo mazuri. Ndiyo maana hata kwenye tawala za nchi, licha ya sheria kuwa wazi na zinajulikana, bado tunahitaji kuwa na mahakama, ili kuweza kutumia busara na hekima kufikia maamuzi ambayo ni bora kwa kila
