MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
#TAFAKARI YA LEO; KINACHOKUUMIZA NI HUKUMU UNAZOTOA…
“It isn’t events themselves that disturb people, but only their judgments about them.” —EPICTETUS, ENCHIRIDION, 5 Ni jambo la kushukuru sana kwa kila mtu aliyeiona siku hii nyingine mpya kwetu. Siyo kwa nguvu wala akili zetu tumepata nafasi hii, bali kwa bahati ya kipekee mno. Tungeweza kukubwa na mabaya yaliyowakumba
