1563; Labda Ni Kweli…

By | April 12, 2019
Kwenye maisha huwa tunawadanganya wengine, tukijua kabisa kwamba tunadanganya, lakini inafika hatua tunajidanganya na sisi wenyewe. Kuna kichekesho kimoja ambapo mtu alikwenda kisimani kuchota maji, akakuta kuna foleni ya watu wengi, na kuona atachelewa kuchota maji. Alikuwa amebeba embe anakula. Akajiuliza anawezaje kuwashawishi watu hao ili achote maji haraka. Baada

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz