MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1563; Labda Ni Kweli…
Kwenye maisha huwa tunawadanganya wengine, tukijua kabisa kwamba tunadanganya, lakini inafika hatua tunajidanganya na sisi wenyewe. Kuna kichekesho kimoja ambapo mtu alikwenda kisimani kuchota maji, akakuta kuna foleni ya watu wengi, na kuona atachelewa kuchota maji. Alikuwa amebeba embe anakula. Akajiuliza anawezaje kuwashawishi watu hao ili achote maji haraka. Baada
