1565; Hakuna Anayefanya Kitu Mara Moja…

By | April 14, 2019
Inapotokea mtu amefanya kitu ambacho hukutegemea afanya, labda ni wizi, udanganyifu au usaliti, utetezi wao wa kwanza huwa ni kwamba ndiyo mara ya kwanza kwao kufanya na hawatarudia tena kufanya. Kama tunawaamini sana watu hawa inakuwa rahisi kukubaliana nao, na kuona kweli labda ndiyo mara ya kwanza wamefanya au kujaribu.

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz