MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1566; Utampigia Nani Kura Leo…
Tukisikia kupiga kura huwa tunafikiria kipindi cha uchaguzi pekee. Lakini maisha yetu ya kila siku ni uchaguzi, kila siku tunajikuta kwenye sanduku la kupiga kura. Lakini wengi hatuelewi hili na ndiyo maana tunafanya maamuzi ambayo ni mabovu. Kila mtu ana kampeni anayopiga kwako. Wapo wanaotaka fedha ulizonazo, hivyo wanakupa matangazo