MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1567; Udhibiti Mkubwa Bado Upo Ndani Yako…
Zama tunazoishi ni zama ngumu sana kwa fikra zetu sisi binadamu. Ni zama ambazo watu wenye ushawishi wanaonekana kuweza kuigawa jamii kama watakavyo. Wale wanaopata nafasi za uongozi au kupata ushawishi kwa njia nyingine, wanaonekana kuwa na nguvu ya kuweza kuibua hisia kali ndani ya watu na kuwagawa. Mitandao ya