MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1569; Maisha Ni Mwendo…
Huwa nasema ukitaka kuyaelewa maisha, basi ielewe asili. Kama hujui misingi gani uishi kwenye maisha yako, basi angalia misingi ya asili, angalia asili inajiendeshaje na yaendeshe maisha yako hivyo na utakuwa na maisha bora sana. Moja ya kanuni muhimu za asili unazopaswa kuzijua na kuziishi ni kanuni kwamba maisha ni