MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1577; Ukipunguza Utabiri Utajipunguzia Matatizo…
Ubongo wetu unapenda sana uhakika, wa mambo tuliyonayo sasa na hata yatakayotokea baadaye. Na hapa ndipo huwa tunapenda kutabiri mambo yatakayotokea baadaye. Kwa utabiri huu, tunajipa uhakika sasa, lakini tunajiweka kwenye nafasi ya kuumia zaidi baadaye. Kwa sababu wote tunajua ya kwamba hakuna utabiri wowote wenye uhakika wa asilimia 100.