MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1578; Nani Aliyeweka Hizo Sheria…
Kila sheria unayofuata kwenye maisha yako inapunguza uhuru wako. Hivyo kama unafuata kila sheria unayowekewa na wengine, huwezi kuwa huru na maisha yako. Jamii zina sheria nyingi sana, sheria ambazo hazina hata mantiki yeyote. Swali muhimu kujiuliza kabla hujafuata sheria yoyote unayowekewa ni watu gani walioweka hizo sheria? Je sheria
