1580; Dawa Ya Tabia Ya Kuahirisha Mambo…

By | April 29, 2019
Kila mmoja wetu anasumbuliwa na tabia hii ya kuahirisha mambo. Unapanga kabisa kwamba utafanya vitu gani, lakini wakati wa kufanya unapofika unaahirisha, unajiambia utafanya kesho au wakati mwingine. Zipo njia nyingi za kuondokana na tabia hii, lakini nyingi zinaishia kukufanya uahirishe zaidi kuliko kuachana na tabia hiyo. Kinachofanya iwe rahisi

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz