MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.
1586; Waambie Watu Mara Saba…
Kanuni ya masoko na matangazo ni hii, watu wanahitaji kuambiwa kitu mara saba kabla hawajakisikia kwa mara ya kwanza. Ndiyo maana unaona makampuni na biashara nyingi huwa zinakuwa na matangazo yanayojirudia rudia mara kwa mara. Ni asili ya binadamu kwamba mtu anapoambiwa kitu kwa mara ya kwanza hakipi uzito wowote,
