1588; Mipango Ni Mwongozo Na Siyo Msaafu….

By | May 7, 2019
Ili kufika kule unakotaka kufika kwenye maisha yako, unahitaji kuwa na mipango ya kukufikisha pale. Mipango ni muhimu sana, kwa sababu hakuna chochote kinachotokea kama muujiza. Lazima kifanyiwe kazi kwa mpango unaoeleweka. Lakini mipango imekuwa kikwazo kwa wengi kupata kile wanachotaka. Kwa sababu wanapoweka mipango, wanataka kila kitu kiende kama

MUHIMU; Ili kuendelea kusoma makala hii unahitaji uwe umejiunga na KISIMA CHA MAARIFA. Kama tayari ulishajiunga na kuwa mwanachama weka taarifa zako kwenye sehemu ya LOG IN kwenye fomu hapo chini.. Kama bado hujajiunga na KISIMA CHA MAARIFA bonyeza sehemu iliyoandikwa Click here to register na utapata maelekezo pamoja na kujiandikisha.

Existing Users Log In
   
Category: KURASA ZA MAISHA

About Dr. Makirita Amani

Dr. Makirita Amani ni daktari wa binadamu, mwandishi, mhamasishaji na mjasiriamali. Dhumuni lake kubwa kwenye maisha ni KUWASAIDA WATU KUBORESHA MAISHA YAO NA KUFIKIA MAFANIKIO MAKUBWA KUPITIA KAZI ANAZOFANYA. Mawasiliano 0717396253 email makirita@kisimachamaarifa.co.tz